Posts

AMANI IDUMISHWE

 Amani ni hali ya kutokuwa vita katikati ya nchi kwa sababu vita huleta uharibifu mkubwa kushinda aina nyingine za ugomvi. Je, Ni njia gani zinafaa kutumika Ili kudumisha amani ? Serikali kupambana na ugaidi nchini Kenya. Serikali inafaa kuweka sheria maalum za kupambana na ugaidi kote ulimwenguni. Hizi sheria ni pamoja na zile zinazohusu utekaji watu nyara,mlipuko wa mabomu inayosababishwa na magaidi. Kukuza uhuru wa magazeti na ule wa kujielezea Ili kuwaruhusu watu wote waweze kutoa habari ambazo hazitakaguliwa na kutokuwa na ubaguzi wa kitamaduni,ni dhahiri shairi kuwa,serikali imesaidia kustawisha na kuimarisha vyombo vya habari. Serikali kubadilisha mitaa ya mabanda iwe makao yafaayo kwa binadamu.Miji mikuu imekuwa makao kwa nusu ya watu ulimwenguni.wamekuwa kitovu Cha shughuli za uzalishaji Mali na kutumia.Pia hushughulikia namna za kutega uchumi na uimarishaji wa jamii Ili kupata Mali na nafsi bora.Pia serikali inafaa kutoa usalama wa umilikaji kwa wale wakazi maskini wa mji...

UPISHI WA PILAU Y A KUKU

  Naam, mapishi ya pilau bila shaka ni mengi. Wapo wanaopika pilau ya kawaida au wengine wanapenda kuipamba kwa njegere, zabibu au viungo vingenevyo. Huenda viungo vinavyotumika vikawa sawa lakini wakati wa kuviweka viungo hivyo ikaleta tofauti ya ladha. Au pia wengine wanaweza wakatumia viungo aina nyingi zaidi kuliko wengine na ndipo pia tofauti ya ladha inapojitokeza. MAHITAJI Mchele 1/2 kg(nusu kilo) Kuku mmoja wa kiasi aliyekatwa katwa na kuoshwa vizuri Vitunguu maji 2 vilivyokatwa katwa slices Pilipili boga 1 Karoti 1 Dania 1 Tomato/nyanya 2 zilizokatwa katwa au kublendiwa Viazi 3 vilivyokatwa katwa Tomato paste/nyanya ya mkebe vijiko 2 vya mezani Kitunguu thomu kijiko 1 cha mezani Kijiko 1 cha chai mdalasini iliopondwa Kijiko 1 cha chai pilipili manga iliopondwa Kijiko 1 cha chai bizari nyembamba iliopondwa Mafuta uto/mafuta ya kupikia takriban vijiko 3 vya mezani MATAYARISHO Weka mchele uupike kwa sekunde kadhaa Weka viazi na maji kiasi. funika mpaka maji yaelekee kukauka, ...

CHILD LABOR

 The  term “child labor” is often used to cover a multitude of situations: from bonded labor to part-time work on the family farm. It is useful to clarify who classifies as a “child” and what activities count as “labor”. Neither of these turns out to be simple.  The issue of working children and child labor has received a great deal of attention from both researchers and policy makers in recent years. Child labor is an extremely important economic and social issue for many reasons.It deprives children of their childhood. In addition,it can adversely affect their physical, mental, and cognitive development. In 2004, the number of working children was estimated to be 218 million in 2004 (ILO 2006). About 14%of the world’s 5-14 year old children were engaged in child labor in 2004. The incidence of child labor(proportion of child labor to number of children)varies across regions with the incidence of child labor being much higher in developing countries. Child labor is funda...

UMASKINI SI KIFO

 Hakika,omba omba anajua bahili. Mnamo mwaka wa 2012, januari shida zilitukumba kifamilia na kutuwangaisha . Hii ilitokea punde tu Babu yangu alipoaga dunia.Sitasahau asilani, nilikuwa darasani mida ya saa  sita mchana ndipo mwalimu mkuu aliingia na kuniita kwa jina langu "Sami, njoooooooooo!" Kisha akaondoka. Punde si punde niliandamana naye Hadi ofisini mwake bali nilikuwa nawaza na kuwazua alichonitia huku jakamoyo zikinijaa. Mwalimu mkuu aliniambia," naomba ukauchukue mkoba wako moja kwa moja uwasili nyumbani ". Ni dhahiri shairi fikra zilinizidi na maswali mpururo yalinijaa. Njiani,nilikuwa natembea aste aste huku nikiwaza ni nini haswa nilichomfanyia mwalimu mkuu ,hata hivyo mwili wangu ulizidi kulegea. Nilipokaribia kwa lango la boma yetu,niliona adnasi wengi wameketi huku wamejawa na huzuni  ilhali nyanya yangu alikuwa anatiririkwa na machozi. Nilijikakamua hadi sebuleni mwetu na kupata wazazi wangu kama wameketi kitako lakini hamna aliyezungumza  na mwengin...

TOXIC RELATIONSHIP AMONG CAMPUS STUDENTS

unhealthy relationship can be defined as a relationship where a partner  controls aspects of the other partner’s life, and it can be abusive, in a psychological,  physical or sexual way. In the relationship, the person who is getting abused or controlled  can be described as the “victim.” In an unhealthy relationship, there may be an absence of  communication, there are lies being told between the two partners as well as excuses to  others outside the relationship, the “victim” has to justify or tell the one controlling them  where, when, and why he or she may be doing something or be at a place at a certain time  on a frequent basis. One of the partners may not disclose information about their dating  or sexual history to the other, the “victim” may be scared of their partner, a partner can  neglect themselves and pay all their attention to the other partner, and one may feel  pressure to meet the standards their partner may have for th...

MANGO JUICE RECIPE FOR FOUR PEOPLE

Image
Mango is a pulpy fruit which requires more liquids when blended to juice .Plain water adds no nutrition or flavor to the juice . Making mango juice at home is no rocket science.Yes I thought of making this post just to share my tips. For years I had made this juice in a blender by adding chopped mqngies,chilled water,ice cubes and sugar. INGRIDIENTS Four large mangoes.  3 table full spoons of sugar. 21/2 cups of chilled water. Few ice cubes(optional). PROCEDURE  Wash, peel and chop the mango. -take mangoe and sugar into a blender. Grind into smooth puree. Then add water and blend it again. Strain the juice and discard fibrous pulp if any. This step is optional although keep refrigerated  chilled till serving.